Skip to main content

Mafuriko yaua watatu Nairobi

Watu watatu wameaga dunia wakati mvua imenyesha usiku wa kuamkia leo kule Nairobi.

Mvua nyingi imeonekana ikileta maafa na mafuriko hivi karibuni kuanzia Nairobi, narok na hata Pwani ya Kenya.

Juma lililopita mvua pia ilionekana kuleta maafa katika jimbo la Texas nchini marekani.

Kuna haja ya kulinda mazingira na kutafakari anga ili kuepukana na hali kama hii.
Orina ontiri, AGR news.

Comments

Popular posts from this blog

BETO LAUNCHES CAMPAIGN IN DALLAS

THOMAS OYARO MAGWAMU FUNERAL AND BURIAL SERVICE

Mafuriko na vilio Dar

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam WATU wanane wamefariki dunia kutokana na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam. Akitoa taarifa ya vifo hivyo Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema watu watano wametambuliwa na wengine watatu bado hawajatambulika na miili yao imehifadhiwa katika ya Hospitali ya Mwananyamala. Alisema Mei 6 mwaka huu, saa moja usiku maeneo ya Magomeni wilayani Kinondoni, mkazi wa Manzese, Shabani Idd (73), alisombwa na maji ya Mto Ng’ombe alipojaribu kuuvuka na mwili wake ulipatikana Mei 7 akiwa amefariki. “Kifo kingine kilitokea Mei 7, mwaka huu mnamo saa 6 mchana maeneo ya Mwananyamala Mbuyuni ambako Masumbuko Douglass (50) alianguka na kufariki dunia ghafla wakati akitoa maji yaliyoingia ndani kwake na uchunguzi wa awali unaonyesha alikuwa na kifafa hivyo wakati akihangaika kutoa maji ugonjwa huo ulimpata na kuanguka,” alisema Kova. Alisema Mei 6, mwaka huu mkazi wa Mvuru...