Skip to main content

Posts

Showing posts from May 24, 2015

taarifa leo 5/29/2015

Prepared by Denis zadock news anchor yard fm 28 th  may 2015  -- Imetimu saa 4.oopm wakati wa kupokea habari za yard fm lakini kwanza tupate mkhutasari wake -- Ukidhani umeathirika na ugonjwa wa saratani usikonde kuna kupimwa na kushugulikiwa kikamilifu asema waziri wa afya kisii saraha omache -- Tuliamurishwa kufunga shule kutokana na hali mbaya ya vyoo asema mwalimu mkuu wa shule ya gesere D.O.k -- Mwakilishi wa wadi Fred menge amrudishia asante rais Kenyatta kwa kupunguza gharama ya stima -- Hatutakubali wakulima kuendelea kutezeka afisa wa benki ya dunia Charles mochama aambia serikali ya Nyamira --  Hujambo na karibu naitwa …………………..     1  Maafisa  wa afya kutoka kaunti ya Kisii wamefunga Shule ya msingi ya Gesere D.O.K iliyoko wadi ya Ibeno kaunti ya Kisii hadi wakati usiojulikana kufuatia na vyoo  vya shule hiyo kuwa katika hali mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jana mwalimu mkuu wa shule hiyo Velster Onchari alisema maafisa wa afya kutoka kaunti y

yanayojiri 5/27/2015

1] Kaunti ya Kisii imetoa hadi  kuwa itasaidia taasisi zote zilioko katika kaunti  ya kisii  ili kujiendeleza kutoa mafunzo kwa  kwa vijana wa kaunti hiyo. Akiongea hiyo jana katika taasisi ya  Nyamondo ilioko katika eneo bunge la Kitutu chache kusini Gavana wa kaunti ya Kisii James ongwae alisema kuwa serikali yake  imeweka mikakati kapambe ya kusaidia taasisi zote katika kaunti hiyo ili kuinua viwango vya masomo. ‘Serikali ya Kaunti itahakikisha kuwa taasisi zote simepata  uzaidizi unaostahili  ii kuinua viwango vya masomo kwa vijana wetu ili kujiendeleza kimasomo na kupata ujuzi wa kijiekimu kimaisha”alihoji Ongwae. Aidha, Gavana ongwae aliongezea kuwa taasisi ni chuo muhimu kwa kuwa hutoa mafunzo maalumu kwa watu na kuwawezesha  kuwa na ujuzi wa kujiendeleza kimaisha na kuwaomba watu kujiunga katika taasisi mbalimbali ili kupata  mafunzo hayo. “Vijana wengi haswa wale wamejiunga na taasisi hizo wamefaidhika pakubwa na wamejiendeleza kimaisha  kwa hivyo  vijana wote wanastahil

Obama hails first Memorial Day since end of combat in Afghanistan

President Obama honored the nation's fallen Monday by pointing out that this is the first Memorial Day since the end of combat operations in Afghanistan — and the first Memorial Day since 9/11 in which the United States is not involved in a major ground war. "Most Americans don't fully see — don't fully understand — the sacrifice made by the 1% who serve in this all-volunteer armed forces," Obama said during the annual Memorial Day ceremony at Arlington National Cemetery. He added: "A sacrifice that preserves the freedoms we too often take for granted." Obama spotlighted the careers of the last two Americans to die in combat in Afghanistan — Wyatt Martin and Ramon Morris — and said the nation will never stop trying to repay the debt owed to these and thousands of others who made the ultimate sacrifice on behalf of the United States. The Americans who rest in the "sacred ground" at Arlington cemetery "are why our nation endures,&q

Bomb squad detonates pressure cooker found near Capitol

A bomb squad has safely detonated some unidentified contents from a "suspicious" vehicle left unattended near the Capitol building and that the driver has been arrested, according to a  U.S. Capitol Police  spokeswoman. In an email Lt. Kimberly A. Schneider explained that officers on routine patrol spotted the parked vehicle Sunday afternoon on the west side of 3rd Street between Jefferson Drive and Madison Drive. Schneider confirmed that the USCP bomb squad safely disrupted the items of concern in the vehicle including a pressure cooker, at about 7:45 pm ET. "Further investigation revealed a pressure cooker, and an odor of gasoline was detected," Schneider said, adding a Capitol Police bomb squad was called in because the vehicle was deemed "suspicious in nature." Pressure cookers have been used in the past to make explosive devices, including the April 2013 Boston Marathon attack that left three dead and more than 260 wounded. Schneider a