Skip to main content

Posts

Showing posts from June 14, 2015
Mwanasiasa amtaka mbunge wa Kitutu Chache kaskazini kuheshimu wanasiasa wengine  Mbunge wa Kitutu Chache kaskazini Jimmy Nuru Angwenyi. Ameombwa kuwaheshimu wanasiasa wengine katika Kaunti ya Kisii. Mwanasiasa aliyewania kiti cha ubunge katika eneo bunge la Kitutu Chache kaskazini kaunti ya kisii, James Atandi amemtaka mbunge aliye mamlakani katika eneo bunge hilo Jimmy Nuru Angwenyi kuheshimu wanasiasa wengine walio katika mamlaka na wale wasio mamlakani. Akizungumza siku ya Alhamisi katika hafla ya mazishi ya ajuza Jeruza Orure yalioyofanyika katika kijiji cha Kemanko, Atandi alimtaka mbunge wa eneo hilo kutoharibia majina wanasiasa wengine na kufanya kazi aliyochaguliwa kufanya. "Sisi wanasiasa ni maadui kwa wanasiasa wengine. Ni jukumu la kila mwanasiasa kuheshimu mwanasiasa mwingine. Naomba mbunge wa eneo hili kuniheshimu ingawa zikuchaguliwa. Wakati wangu utafika na mwaka 2017 nitasimama tena. Angwenyi asije akaniharibia jina kwa mikutano mingine,”alisema Atandi. Ai
-- Ni wakati wa kupokea habari za YARD fm na AGR lakini kwanza tupate mkhutasari wake Maandamano si suluhu gavana Ongwae ambia wakaazi wa kisii --Tunahitaji pesa nyingi katika mashindano ya tamasha za mziki asema naibu mwenyekiti evans Gesanda --Serikali ya Nyamira yaombwa kuongeza pesa zaidi kwa sekta ya afya Mzipozingatia usafi mtaathiriwa na funza mhudumu wa afya katika jamii Kepha kengoina awaonya wakaazi wa mwembe --Kizungumkuti chazuka kati ya afisa wa polisi na madereva wa teksi mjini Kisii Habari kamili 1  Gavana aomba wakazi kutafuta sululu wakatijambo mbaya linapotokea bali si kuandamana-Kisii Wakazi wa kaunti ya Kisii wameombwa kutoandamana wakati kuna jambo mbaya linapotokea katika maeneo mbalimbali ya Kuanti hiyo kwani hiyo si suluhu . Akiongea na wananchi wa eneo bunge la Bochari kaunti ya Kisii walioandamana hii leo hadi ofisi za Gavana wa kaunti ya Kisii zinazopatikana mjini Kisii Gavana wa kaunti ya Kisii James Ongwae, aliwaomba wakazi hao wasikuwe na tabia y
kisii County News Thursday,June 18 2015 Father jailed for 30 years for killing son A signboard showing directions to Kisii law courts. A father was jailed for 30 years by the High Court in Kisii for killing his son. A man was jailed for 30 years by the High Court in Kisii after he was convicted of murdering his son. Kennedy Obara murdered his two and a half year old son, Hezbon Nyamongo by strangling him on April 11, 2013 at Nyaramba sub location in Gucha South, Kisii County. The court was told that Obara, who had a habit of beating his wife, had beaten her on the fateful night using a walking stick after which she fled to her parents at Suguta. She left behind her two sons who included the deceased and his seven-year-old brother. Kisii Resident Judge Ruth Sitati said that after carefully examining the evidence given by the prosecution and the cross examination, she concluded that it was Obara who killed the deceased. She said that in her considered view there was sufficient